Athanasius Atule Usuh

Athanasius Atule Usuh (194914 Julai 2016) alikuwa Askofu wa Kanisa Katoliki.

Alipadrishwa mwaka 1971 na baadaye alihudumu kama Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Makurdi, Nigeria, kuanzia 1987 hadi 1989. Baada ya hapo, aliteuliwa kuwa Askofu wa Jimbo hilo, nafasi aliyoshikilia hadi mwaka 2015.[1]

  1. "Diocese of Makurdi, Nigeria". www.gcatholic.org. Iliwekwa mnamo 2016-07-16.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.