Bob Andy

Keith Anderson (anajulikana zaidi kwa jina la kisanii Bob Andy, 28 Oktoba 1944 – 27 Machi 2020) alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa reggae kutoka Jamaika.

Alijulikana sana kama mmoja wa watunzi wa nyimbo wenye ushawishi mkubwa katika muziki wa reggae.[1][2]

  1. Katz, David (30 Machi 2020). "Bob Andy obituary". The Guardian. London. Iliwekwa mnamo 13 Agosti 2020.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "We Remember Bob Andy". AllMusic.