Keith Anderson (anajulikana zaidi kwa jina la kisanii Bob Andy, 28 Oktoba 1944 – 27 Machi 2020) alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa reggae kutoka Jamaika.
Alijulikana sana kama mmoja wa watunzi wa nyimbo wenye ushawishi mkubwa katika muziki wa reggae.[1][2]
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)