Cape Town Tigers ni klabu ya mpira wa kikapu nchini Afrika Kusini yenye makao yake jijini Cape Town.[1] Timu hiyo inapatikana katika kitongoji cha Gugulethu.[2] Ilianzishwa mwaka 2019, makocha ni Raphael Edwards na Vincent Ntunja. Mwaka 2021, klabu ilishinda ubingwa wa kitaifa Afrika Kusini ukiwa msimu wake wa kwanza katika mashindano hayo.
Michuano ya kitaifa Afrika Kusini
Ligi ya Mpira wa Kikapu Afrika