Chioma Chukwuka (alizaliwa Oraifite, Anambra State , Nigeria, 12 Machi 1980) ni mwigizaji wa Nollywood Nigeria. Mwaka 2007 aliibuka mshindi wa Afrika Kisasa Academy Award kwa 'Muigizaji bora katika mhusika mkuu'.[1][2]
Mwaka 2007 Chukwuka alipokea 'Muigizaji Bora katika mhusika mkuu' tuzo katika Tuza ya Filamu Bora Afrika kwa ajili ya filamu Dhambi ya mwili. [3] Chukwuka ameigiza katika zaidi ya Filamu 80 za Nollywood .[4]
- Mchanga mwekundu (2008)
- Michezo maradufu (2007)
- Kalio kwenye moto (2006)
- Chanika (2006)
- Chinwe Okeke (2006)
- Waliokufa katika Imani (2006)
- Azimio kuu (2006)
- Mwisho wa Majadiliano (2006)
- Michezo Yenye Wanauma hucheza (2006)
- Familia takatifu (2006)
- Sakata ya mwisho (2006)
- Uchi na Dhambi (2006)
- Siku Ya Harusi Yangu(2006)
- Royal Kiyama (2006)
- Royal tusi (2006)
- Mtakatifu (2006)
- Mwokozi (2006)
- Nyoka katika Paradiso (2006)
- Sauti ya pendo (2006)
- Mapenzi ya ajabu (2006)
- Machozi Moyoni (2006)
- Mikosi ya kijumla (2006)
- Mshtuko (2006)
- Hekima ya Miungu (2006)
- Zoza (2006)
- Azima (2005)
- Mabiharusi (2005)
- Bibiharusi wa Tai(2005)
- Malaika bandia (2005)
- Mwezi wa dhahabu (2005)
- Kukujua wewe (2005)
- Wakti wa Ukweli (2005)
- Penzi la kweli 2 (2005)
- Penzi la kweli 3 (2005)
- Mapokeo takatifu (2005)
- Adamu wa pili (2005) (V)
- Dhambi ya mwili (2005)
- Vita ya Vita (2005)
- Miaka ya Machozi (2005)
- Mduara wa Machozi (2004)
- Mchezo mchafu (2004)
- Mvua nzito (2004)
- Kutamani nyumbani (2004)
- Kumbukumbu (2004) (V)
- Ahidi & kufeli (2004)
- Mbili kuwa moja (2004)
- Ahadi iliovunjwa (2004
- Kujipendekeza (2003)
- Mtanashati (2003)
- Penzi lakweli (2003)
- Pendo la Kweli (2003)
- Mugongano wa mwisho (2002)
- Machweo (2002) (V)