Fasihi ya lugha ya zshara ya Marekani ni mojawapo ya uzoefu muhimu wa kitamaduni wa jamii ya viziwi nchini Marekani. Aina za fasihi zilianza kuendelezwa katika taasisi za viziwi, kama vile shule ya viziwi ya Marekani huko Hartford, Connecticut, [1] ambapo lugha ya ishara ya Marekani ilianza kukua mwanzoni mwa karne ya 19.[2]
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |