Gilbert Espinosa Chávez

Gilbert Espinosa Chávez (10 Machi 193215 Machi 2020) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Marekani.

Alihudumu kama askofu msaidizi wa Jimbo Katoliki la San Diego.[1]

  1. "Diocesan History". Diocese of San Diego. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 31 Desemba 2012. Iliwekwa mnamo 23 Desemba 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.