Hamdi Akujobi

Hamdi Akujobi (2024)

Hamdi Jobi Akujobi (alizaliwa 20 Januari 2000) ni mchezaji wa soka wa Uholanzi ambaye anacheza kama beki wa kulia wa klabu ya Eerste Divisie Almere City.

Kazi ya kitaaluma[hariri | hariri chanzo]

Tarehe 25 Aprili 2019, Akujobi alitia saini mkataba wake wa kwanza wa kikazi na klabu ya SC Heerenveen kwa miaka mitatu. [1]

Ushiriki Kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Akujobi ni mzaliwa wa Uholanzi,pia ana asili ya Nigeria. Aliitwa katika kikosi cha awali cha timu ya taifa ya Nigeria chini ya umri wa miaka 20 kushiriki Kombe la Dunia la FIFA la U-20 la 2019. [2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Akujobi dankbaar voor eerste profcontract: Heb veel steun gekregen", FeanOnline, 26 April 2019. (nl) 
  2. "Dutch-Born Nigerian Midfielder Pens New Deal With SC Heerenveen, Named In Flying Eagles Provisional Squad:: All Nigeria Soccer - The Complete Nigerian Football Portal". www.allnigeriasoccer.com.
  3. Amosu, Adeboye (Aprili 30, 2019). "Flying Eagles Hold Freiburg To 3-3 Draw In Pre - World Cup Friendly -".{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hamdi Akujobi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.