Jambo Bwana ni zulika ya Kenya ambayo pia ni mashuhuri nchini Tanzania.
Muziki huu uliachiliwa mara ya kwanza mnamo mwaka 1982 na bendi ya Kenya ijulikanayo kama Them Mushrooms na baadaye ikafanyiwa kazi na idadi ya makundi mengine na wasanii ikijumuisha Mombasa Roots, bendi ya SafariSound, Khadja Nin, Adam Solomon, Mani Kollengode[1][2] na kikundi cha Ujerumani cha German Boney M. Baadhi ya aina nyingine zilikuja katika vichwa mbali mbali kama "Jambo Jambo" na "Hakuna Matat".