John Mnyika ni mwanasiasa wa chama cha CHADEMA nchini Tanzania aliyechaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Ubungo tangu mwaka 2010.[1][2]
Kwa sasa John Mnyika ni katibu mkuu wa chama hicho akiwa ameteuliwa rasmi tarehe 20 Desemba 2019. [3]
{{cite web}}
: Text "imeandaliwa Mei 2017" ignored (help)
![]() |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |