Joseph Sipendi

Joseph Sipendi (19 Machi 191529 Aprili 1985) alikuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki kutoka Tanzania na askofu wa Jimbo Katoliki la Moshi.

Kabla ya kuhudumu kama askofu wa Moshi, alikuwa askofu wa Zanzibar.[1]

  1. "Bishop Joseph Sipendi [Catholic-Hierarchy]". www.catholic-hierarchy.org. Iliwekwa mnamo 2021-04-21.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.