Junior English

Lindel Beresford English (anajulikana zaidi kama Junior English; 1951 – 10 Machi 2023) alikuwa mwimbaji wa reggae kutoka Jamaika ambaye alianza kazi yake mwanzoni mwa miaka ya 1960 kabla ya kuhamia Uingereza.[1][2][3][4]

  1. Larkin, Colin (1998) The Virgin Encyclopedia of Reggae, Virgin Books, ISBN 0-7535-0242-9, pp. 94–95
  2. Moskowitz, David V. (2006) Caribbean Popular Music: an Encyclopedia of Reggae, Mento, Ska, Rock Steady, and Dancehall, Greenwood Press, ISBN 0-313-33158-8, p. 105
  3. Gayle, Carl (1974) "Junior's Cool", Black Music, September 1974, vol. 1, issue 10
  4. "Junior English has died". Reggae Vibes. 12 Machi 2023. Iliwekwa mnamo 12 Machi 2023.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Junior English kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.