Michael Joseph Boulette

Michael Joseph Boulette (alizaliwa 4 Juni 1950) ni askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Marekani.

Tangu mwaka 2017, amehudumu kama askofu msaidizi wa Jimbo Kuu la San Antonio, Texas.[1][2][3]

  1. "Pope Names Msgr. Michael Boulette as Auxiliary Bishop of San Antonio". US Conference of Catholic Bishops. Iliwekwa mnamo Januari 23, 2017.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Msgr. Michael Boulette named new auxiliary bishop of San Antonio by Pope Francis". Archdiocese of San Antonio. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2024-06-12. Iliwekwa mnamo Januari 23, 2017.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Bishop Michael Joseph Boulette [Catholic-Hierarchy]".
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.