Mto Gucha

Beseni la mto Gucha.

Mto Gucha (pia: Kuja) unapatikana katika kaunti ya Migori, magharibi mwa Kenya, na unaishia katika ziwa Viktoria, ukichangia hivyo mto Naili na hatimaye Bahari ya Kati.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]