Mustapha Skandrani, (17 Novemba 1920 Casbah ya Algiers - 8 Oktoba 2005)[1][2] alikuwa mpigaji kinanda na mtumbuizaji wa muziki wa chaabi (Algeria).[3]
Alizaliwa mwaka 1920, Casbah Algiers nchini Algeria. Familia ya Skandrani walikuwa ni watu wenye asili ya Uturiki na awali walitokea İskenderun, Uturiki.[4] [5]Alikuwa na kusoma mpaka hatua ya cheti cha Msingi bila tatizo huko Casbah.
Kwa mara ya kwanza redioni Skandrani alifika akiwa na mtunzi Rachid Ksentini na mwenza wake Marie Soussan. Na kisha utalii wa Algeria ukafuatia mnamo mwaka 1940 akiwa na Umm Kulthum, Mahieddine Bachtarzi, Driscar, Mustapha Kateb na watu wengine zaidi.[6] Alifariki Oktoba 8 2005 akiwa na umri wa miaka 85 nyumbani kwake Algiers baada ya kuumwa kwa muda mrefu.[7] Alizikwa katika makaburi ya M'hamed.
{{cite web}}
: |archive-date=
/ |archive-url=
timestamp mismatch; 5 Machi 2014 suggested (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite news}}
: More than one of |accessdate=
na |access-date=
specified (help); More than one of |archivedate=
na |archive-date=
specified (help); More than one of |archiveurl=
na |archive-url=
specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite book}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
Mustapha Skandrani a vu le jour le 17 novembre 1920, à la Casbah d'Alger. Selon lui, ses origines seraient d'Iskander, ville turque.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)