Philip Repyngdon (takriban 1345 – 1424) alikuwa askofu na kardinali wa Kanisa Katoliki.[1]
Philip Repyngdon anasemekana alizaliwa Wales. Alikuwa mtawa wa Waaugustino, akianza katika Repton Abbey na baadaye Leicester Abbey, ambako alipewa daraja ya upadri tarehe 26 Mei 1369. Repyngdon alipata elimu yake katika Broadgates Hall, Oxford, na alihitimu shahada ya udaktari wa theolojia mwaka 1382.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |