Rita MacNeil

Rita MacNeil (amezaliwa 28 Mei, 1944 – amefariki 16 Aprili, 2013) alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa Kanada kutoka jamii ya Big Pond, Nova Scotia kwenye Cape Breton Island ya Nova Scotia.[1][2]

  1. Roberts, David (2006). British Hit Singles & Albums (tol. la 19th). London: Guinness World Records Limited. uk. 341. ISBN 1-904994-10-5.
  2. Ouzounian, Richard (Aprili 17, 2013). "Rita MacNeil: Spirited woman touched many with her songs". Toronto Star. Iliwekwa mnamo Septemba 23, 2020.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rita MacNeil kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.