Sherifa Gunu ni mwanamuziki wa nyimbo za injili nchini Ghana . [1] Alizaliwa katika familia ya kifalme ya Ufalme wa Dagbon, katika Mkoa wa Kaskazini wa Ghana. Gunu alipendezwa na muziki na densi wakati wa utoto wake. [2] Sherifa ameshiriki katika mashindano mbalimbali ya kucheza dansi katika ngazi ya mkoa na kitaifa.
Sherifa Gunu hwas alizaliwa katika Ufalme wa Dagbon katika Mkoa wa Kaskazini wa Ghana katika familia ya kifalme. Aliacha shule mapema na baadae akashiriki mashindano ya dansi ya kikanda na kitaifa[3][4].
Sherifa ni Muislamu na mama wa watoto wawili.[5] [6]
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sherifa Gunu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |