Adolfo Tito Yllana

Adolfo Tito Camacho Yllana (alizaliwa 6 Februari 1948) ni askofu kutoka Ufilipino wa Kanisa Katoliki ambaye anafanya kazi katika idara ya kidiplomasia ya Vatikani.

Amekuwa askofu mkuu na balozi wa Kipapa (Apostolic Nuncio) tangu mwaka 2001, na tangu Juni 2021, anahudumu kama Balozi wa Papa nchini Israel pamoja na kuwa Mwakilishi wa Papa (Apostolic Delegate) kwa Yerusalemu na Palestina.[1]

  1. (in it) Rinunce e nomine, 13.12.2001 (Press release). Holy See Press Office. 13 December 2001. https://press.vatican.va/content/salastampa/it/bollettino/pubblico/2001/12/13/0679/02064.html. Retrieved 18 April 2020.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.