Elias John Kwandikwa alikuwa mwanasiasa Mtanzania, mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Ushetu kwa miaka 2015 – 2020 [1] akarudishwa mwaka 2020 na kuteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi[2].
Alifariki dunia akiwa Dar es Salaam, katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili, tarehe 2 Agosti 2021. [3][4]
{{cite web}}
: More than one of |accessdate=
na |access-date=
specified (help)
![]() |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |