John Joseph Hirth

Maison-Carrée, nyumba mama ya White Fathers.

John Joseph Hirth (26 Machi 18546 Januari 1931) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki katika Afrika Mashariki ya Kijerumani, anajulikana kama mwasisi wa Kanisa nchini Rwanda.[1]

  1. "Mwanza (Archdiocese) [Catholic-Hierarchy]". www.catholic-hierarchy.org. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-04-17. Iliwekwa mnamo 2021-04-21.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.