Rebecca Kalu | |
Nchi | Nigeria |
---|---|
Kazi yake | Mchezaji wa mpira wa miguu |
Rebecca Kalu (alizaliwa 12 Juni 1990) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Nigeria ambae amecheza kama kiungo katika kombe la Dunia la FIFA chini ya umri wa miaka 20 mnamo mwaka 2010 na alikuwa katika kikosi cha timu ya Nigeria katika michuano ya kombe la FIFA la Wanawake mwaka 2011. Rebecca alicheza katika klabu ya Pitea IF mwaka 2009 huko Sweden.[1][2][3]
{{cite web}}
: More than one of |archivedate=
na |archive-date=
specified (help); More than one of |archiveurl=
na |archive-url=
specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
![]() |
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Rebecca Kalu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |